Proverbs 21:27 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tambiko ya mwovu ni kitu cha kuchukiza, huchukiza zaidi akiitoa kwa nia mbaya.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo; si ni chukizo zaidi ikitolewa kwa nia mbaya!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sadaka ya wasio haki ni chukizo; Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tambiko ya mwovu ni kitu cha kuchukiza, huchukiza zaidi akiitoa kwa nia mbaya.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo, si zaidi sana itolewapo kwa nia mbaya!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo, si zaidi sana itolewapo kwa nia mbaya!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sadaka ya wasio haki ni chukizo; Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tambiko ya mwovu ni kitu cha kuchukiza, huchukiza zaidi akiitoa kwa nia mbaya.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wasiomcha Mungu wakitoa vipaji vya tambiko humtapisha, zaidi wakivitoa na kuyaficha mawazo yao mabaya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sadaka ya wasio haki ni chukizo; Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sadaka ya mwovu ni kitu cha kuchukiza sana. Inachukiza zaidi akiitoa kwa nia mbaya.