Proverbs 21:28 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shahidi mwongo ataangamia, lakini msikivu hawezi kunyamazishwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shahidi wa uongo ataangamia, bali maneno ya mwenye kusikia yatadumu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Shahidi wa uongo atapotea; Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shahidi mwongo ataangamia, lakini msikivu hawezi kunyamazishwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shahidi wa uongo ataangamia, bali maneno ya mwenye kusikia yatadumu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shahidi wa uongo ataangamia, bali maneno ya mwenye kusikia yatadumu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Shahidi wa uongo atapotea; Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shahidi mwongo ataangamia, lakini msikivu hawezi kunyamazishwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Shahidi ya uwongo huangamia, lakini mtu asikiaye kwanza atasema siku zote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Shahidi wa uongo atapotea; Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mushuhuda mwongo ataangamia, lakini anayejua kusikiliza hawezi kunyamazishwa.