Proverbs 21:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mali ipatikanayo kwa udanganyifu, ni mvuke upitao na mtego wa kifo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mali ipatikanayo kwa udanganyifu, ni mvuke upitao na mtego wa kifo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mali ipatikanayo kwa udanganyifu, ni mvuke upitao na mtego wa kifo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kujipatia malimbiko kwa ulimi uongopao ni kama pumzi ipoteleayo angani tu, wayatakao hujitafutia kufa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mali inayopatikana kwa udanganyifu ni muvuke unaopita na mutego wa kifo.