Proverbs 21:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ukatili wa wakatili utawafutilia mbali, maana wanakataa kutenda yaliyo ya haki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Jeuri ya waovu itawaburuta mbali, kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Jeuri ya wabaya itawaondolea mbali; Kwa sababu wamekataa kutenda hukumu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ukatili wa wakatili utawafutilia mbali, maana wanakataa kutenda yaliyo ya haki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Jeuri ya waovu itawaburuta mbali, kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Jeuri ya waovu itawaburuta mbali, kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Jeuri ya wabaya itawaondolea mbali; Kwa sababu wamekataa kutenda hukumu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ukatili wa wakatili utawafutilia mbali, maana wanakataa kutenda yaliyo ya haki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Uangamizi wao wasiomcha Mungu huwapokonya, kwa kuwa hukataa kufanya yaliyo sawa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Jeuri ya wabaya itawaondolea mbali; Kwa sababu wamekataa kutenda hukumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ukali wa waovu utawaangamiza, maana wanakataa kutenda mambo ya haki.