Proverbs 21:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Njia ya mtu mwenye hatia imepotoka, lakini mwenendo wa mnyofu umenyooka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu, bali tabia ya mtu asiye na hatia ni nyofu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Njia yake aliyelemewa na dhambi imepotoka sana; Bali mtu aliye safi, kazi yake ni sawasawa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Njia ya mtu mwenye hatia imepotoka, lakini mwenendo wa mnyofu umenyooka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu, bali tabia ya mtu asiye na hatia ni nyofu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu, bali tabia ya mtu asiye na hatia ni nyofu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Njia yake aliyelemewa na dhambi imepotoka sana; Bali mtu aliye safi, kazi yake ni sawasawa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Njia ya mtu mwenye hatia imepotoka, lakini mwenendo wa mnyofu umenyooka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Njia ya mtu akoraye manza hupotoka sana, lakini matendo yake anyokaye hutakata.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Njia yake aliyelemewa na dhambi imepotoka sana; Bali mtu aliye safi, kazi yake ni sawasawa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Njia ya mutu mwenye kosa imepotoka, lakini mwenendo wa mwenye moyo safi ni sawa.