Proverbs 22:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfukuze mwenye dharau na fujo itatoweka, ugomvi na matusi vitakoma.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfukuze mwenye dhihaka, na mvutano utatoweka; ugomvi na matukano vitakoma.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtupe nje mwenye dharau, na ugomvi utatoka; Naam, fitina na fedheha zitakoma.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfukuze mwenye dharau na fujo itatoweka, ugomvi na matusi vitakoma.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mfukuze mwenye dhihaka, nayo mashindano yatatoweka; ugomvi na matukano vitakoma.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mfukuze mwenye dhihaka, na mvutano utatoweka; ugomvi na matukano vitakoma.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtupe nje mwenye dharau, na ugomvi utatoka; Naam, fitina na fedheha zitakoma.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfukuze mwenye dharau na fujo itatoweka, ugomvi na matusi vitakoma.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfukuze mfyozaji! Ndipo, ugomvi nao utakapotoka, ndipo, mteto nayo matusi yatakapokoma.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtupe nje mwenye dharau, na ugomvi utatoka; Naam, fitina na fedheha zitakoma.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Umufukuze mwenye kiburi na fujo itatoweka, na ugomvi na matusi vitakoma.