Proverbs 22:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mwangalifu huona hatari akajificha, lakini wajinga hujitokeza mbele wakaumia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele, naye hupata madhara.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mwangalifu huona hatari akajificha, lakini wajinga hujitokeza mbele wakaumia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele kama kipofu nayo ikamtesa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele kama kipofu nayo ikamtesa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mwangalifu huona hatari akajificha, lakini wajinga hujitokeza mbele wakaumia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwerevu akiona mabaya hujificha, lakini wajinga hupita tu, wakapatwa nayo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye akili anaona hatari na kujificha, lakini wajinga wanajitokeza mbele na kuumia.