Proverbs 22:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tajiri humtawala maskini; mkopaji ni mtumwa wa mkopeshaji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Matajiri huwatawala maskini naye akopaye ni mtumwa wa akopeshaye.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tajiri humtawala maskini, Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tajiri humtawala maskini; mkopaji ni mtumwa wa mkopeshaji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Matajiri huwatawala maskini naye akopaye ni mtumwa wa akopeshaye.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Matajiri huwatawala maskini naye akopaye ni mtumwa wa akopeshaye.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tajiri humtawala maskini, Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tajiri humtawala maskini; mkopaji ni mtumwa wa mkopeshaji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mkwasi huwatawala maskini, naye akopaye ni mtumishi wake amkopeshaye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tajiri humtawala maskini, Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tajiri anamutawala masikini. Mwenye kukopesha ni mutumwa wa mwenye kukopeshwa.