Proverbs 22:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mkarimu atabarikiwa, maana chakula chake humgawia maskini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa kwa kuwa hushiriki chakula chake na maskini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mkarimu atabarikiwa, maana chakula chake humgawia maskini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa kwa kuwa hushiriki chakula chake na maskini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa kwa kuwa hushiriki chakula chake na maskini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mkarimu atabarikiwa, maana chakula chake humgawia maskini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atazamaye wengine kwa jicho lenye utu hubarikiwa, kwani humgawia mnyonge chakula chake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu mwenye kuwa tayari kusaidia atabarikiwa, maana anagawanya chakula chake na masikini.