Proverbs 23:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
maana Mungu, Mkombozi, ni mwenye nguvu, naye ataitetea haki yao dhidi yako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa kuwa Mtetezi wao ni mwenye nguvu, atawatetea dhidi yako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa sababu mkombozi wao ana nguvu; Atawatetea juu yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
maana Mungu, Mkombozi, ni mwenye nguvu, naye ataitetea haki yao dhidi yako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa kuwa Mtetezi wao ni mwenye nguvu, atalichukua shauri lao dhidi yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa kuwa Mtetezi wao ni mwenye nguvu, atalichukua shauri lao dhidi yako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa sababu mkombozi wao ana nguvu; Atawatetea juu yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
maana Mungu, Mkombozi, ni mwenye nguvu, naye ataitetea haki yao dhidi yako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mkombozi wao ni mwenye nguvu, yeye huwagombea, wakigombezwa na wewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa sababu mkombozi wao ana nguvu; Atawatetea juu yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
maana Mungu, Mukombozi wao, ni mwenye nguvu, naye atatetea haki yao nawe utaonekana kuwa na kosa.