Proverbs 23:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Zuia sana hamu yako, ikiwa wewe wapenda sana kula.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
na utie kisu kooni mwako kama ukiwa mlafi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena ujitie kisu kooni, Kama ukiwa mlafi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Zuia sana hamu yako, ikiwa wewe wapenda sana kula.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
na utie kisu kooni mwako kama ukiwa mlafi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
na utie kisu kooni mwako kama ukiwa mlafi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena ujitie kisu kooni, Kama ukiwa mlafi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Zuia sana hamu yako, ikiwa wewe wapenda sana kula.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Jibandikie kisu kooni pako wewe ukiwa mwenye tamaa ya kula sana!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena ujitie kisu kooni, Kama ukiwa mlafi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Zuia sana hamu yako, ikiwa wewe unapenda sana kula.