Proverbs 23:21 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
maana walevi na walafi wataishia kuwa maskini, anayetumia siku yake kusinzia atavaa matambara.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa maana walevi na walafi huwa maskini, nako kusinzia huwavika matambara.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
maana walevi na walafi wataishia kuwa maskini, anayetumia siku yake kusinzia atavaa matambara.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa maana walevi na walafi huwa maskini, nako kusinzia huwavika matambara.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa maana walevi na walafi huwa maskini, nako kusinzia huwavika matambara.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
maana walevi na walafi wataishia kuwa maskini, anayetumia siku yake kusinzia atavaa matambara.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mnywaji na mlafi watachukuliwa mali zao, kwani usingizi mwingi huvika watu vitambaa vichakavu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
maana walevi na walafi wataishia kuwa wamasikini. Usingizi utawavalisha nguo za kupasukapasuka.