Proverbs 23:24 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baba wa mtoto mwadilifu atajaa furaha; anayemzaa mtoto mwenye hekima atamfurahia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baba wa mwenye haki ana furaha kubwa, naye aliye na mwana mwenye hekima humfurahia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Baba yake mwenye haki atashangilia; Naye amzaaye mtoto mwenye hekima atamfurahia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baba wa mtoto mwadilifu atajaa furaha; anayemzaa mtoto mwenye hekima atamfurahia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baba wa mwenye haki ana furaha kubwa, naye aliye na mwana mwenye hekima humfurahia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baba wa mwenye haki ana furaha kubwa, naye aliye na mwana mwenye hekima humfurahia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Baba yake mwenye haki atashangilia; Naye amzaaye mtoto mwenye hekima atamfurahia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baba wa mtoto mwadilifu atajaa furaha; anayemzaa mtoto mwenye hekima atamfurahia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Babake mwana mwongofu hupiga shangwe nyingi, aliyezaa mwana mwerevu wa kweli humfurahia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Baba yake mwenye haki atashangilia; Naye amzaaye mtoto mwenye hekima atamfurahia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Baba wa mutoto mwenye haki atajaa furaha; anayezaa mutoto mwenye hekima atamufurahia.