Proverbs 23:34 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Utakuwa kama mtu alalaye katikati ya bahari, kama mtu alalaye juu ya mlingoti wa meli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Utakuwa kama alalaye baharini, alalaye juu ya kamba ya merikebu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Utakuwa kama mtu alalaye katikati ya bahari, kama mtu alalaye juu ya mlingoti wa meli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Utakuwa kama alalaye katikati ya bahari, alalaye juu ya kamba ya merikebu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Utakuwa kama alalaye katikati ya bahari, alalaye juu ya kamba ya merikebu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Utakuwa kama mtu alalaye katikati ya bahari, kama mtu alalaye juu ya mlingoti wa meli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
nawe utakuwa kama mtu alalaye chini baharini, au kama mtu alalaye pembeni juu ya mlingoti;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utakuwa kama mutu anayelala katikati ya bahari, kama mutu anayelala juu ya mulingoti wa mashua.