Proverbs 23:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Usiseme maneno yako mbele ya mpumbavu, maana atapuuza hekima ya maneno yako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usizungumze na mpumbavu, kwa maana atadhihaki hekima ya maneno yako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Usiseme masikioni mwa mpumbavu; Maana atadharau hekima ya maneno yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Usiseme maneno yako mbele ya mpumbavu, maana atapuuza hekima ya maneno yako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Usizungumze na mpumbavu, kwa maana atadhihaki hekima ya maneno yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Usizungumze na mpumbavu, kwa maana atadhihaki hekima ya maneno yako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Usiseme masikioni mwa mpumbavu; Maana atadharau hekima ya maneno yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Usiseme maneno yako mbele ya mpumbavu, maana atapuuza hekima ya maneno yako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Usiseme masikioni pa mpumbavu! Kwani atayabeza maneno yako, uliyoyasema kwa akili.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Usiseme masikioni mwa mpumbavu; Maana atadharau hekima ya maneno yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Usiseme maneno yako mbele ya mupumbafu, maana atazarau hekima ya maneno yako.