Proverbs 24:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwokoe mtu anayechukuliwa kuuawa bure; usisite kumwokoa anayeuawa bila hatia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo; wazuie wote wanaojikokota kuelekea machinjoni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Uwaokoe wanaochukuliwa ili wauawe; Nao walio tayari kuchinjwa uwaopoe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwokoe mtu anayechukuliwa kuuawa bure; usisite kumwokoa anayeuawa bila hatia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo; wazuie wote wanaojikokota kuelekea machinjoni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo; wazuie wote wanaojikokota kuelekea machinjoni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Uwaokoe wanaochukuliwa ili wauawe; Nao walio tayari kuchinjwa uwaopoe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwokoe mtu anayechukuliwa kuuawa bure; usisite kumwokoa anayeuawa bila hatia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Waponye wanaopelekwa kuuawa, nao wanokumbwakumbwa kwenda kuchinjwa sharti uwaopoe!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Uwaokoe wanaochukuliwa ili wauawe; Nao walio tayari kuchinjwa uwaopoe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Umwokoe mutu anayepelekwa kuuawa kwa bure; usisite kumwopoa anayeuawa bila kosa.