Proverbs 24:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Usivizie kama mwovu kushambulia makao ya mtu mwema, wala usijaribu kuiharibu nyumba yake,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usivizie kama haramia afanyavyo ili kuyashambulia makao ya mwenye haki, wala usiyavamie makazi yake,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ewe mtu mbaya, usiyavizie makao yake mwenye haki; Wala usipaharibu mahali pake pa kupumzika;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Usivizie kama mwovu kushambulia makao ya mtu mwema, wala usijaribu kuiharibu nyumba yake,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Usivizie kama haramia afanyavyo ili kuyashambulia makao ya mwenye haki, wala usiyavamie makazi yake,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Usivizie kama haramia afanyavyo ili kuyashambulia makao ya mwenye haki, wala usiyavamie makazi yake,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ewe mtu mbaya, usiyavizie makao yake mwenye haki; Wala usipaharibu mahali pake pa kupumzika;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Usivizie kama mwovu kushambulia makao ya mtu mwema, wala usijaribu kuiharibu nyumba yake,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wewe usiyemcha Mungu, usiotee penye kao la mwongofu, wala usipabomoe pake pa kulalia!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ewe mtu mbaya, usiyavizie makao yake mwenye haki; Wala usipaharibu mahali pake pa kupumzika;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Usivizie kama mwovu kwa kushambulia makao ya mutu wa haki, wala usijaribu kuharibu nyumba yake,