Proverbs 24:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
maana mtu mwema huanguka mara nyingi lakini huinuka, lakini mtu mwovu huangamizwa na janga.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba, huinuka tena; lakini waovu huangushwa chini na maafa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena; Bali wasio haki hukwazwa na mabaya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
maana mtu mwema huanguka mara nyingi lakini huinuka, lakini mtu mwovu huangamizwa na janga.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba, huinuka tena, lakini waovu huangushwa chini na maafa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba, huinuka tena, lakini waovu huangushwa chini na maafa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena; Bali wasio haki hukwazwa na mabaya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
maana mtu mwema huanguka mara nyingi lakini huinuka, lakini mtu mwovu huangamizwa na janga.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mwongofu akianguka mara saba huinuka, lakini wasiomcha Mungu hujikwaza penye mabaya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena; Bali wasio haki hukwazwa na mabaya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
maana mutu wa haki anaanguka mara nyingi naye anainuka tena, lakini mutu mwovu anaangamizwa na hasara.