Proverbs 24:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
maana maangamizi yao huwapata ghafla. Hakuna ajuaye maafa watakayozusha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao, naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana msiba wao utatokea kwa ghafula; Tena ni nani aujuaye uharibifu wa miaka yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
maana maangamizi yao huwapata ghafla. Hakuna ajuaye maafa watakayozusha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao, naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao, naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana msiba wao utatokea kwa ghafla; Tena ni nani aujuaye uharibifu wa miaka yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
maana maangamizi yao huwapata ghafla. Hakuna ajuaye maafa watakayozusha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mara utatokea mwangamizo wao, tena yuko nani ajuaye, mabaya yatakapowapata nyote wawili?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana msiba wao utatokea kwa ghafula; Tena ni nani aujuaye uharibifu wa miaka yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
maana maangamizi yatawatokea kwa rafla. Hakuna anayejua magumu watakayoleta.