Proverbs 24:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mpango anaofikiria mpumbavu ni dhambi; mwenye dharau huchukiwa na kila mtu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mipango ya upumbavu ni dhambi, watu huchukizwa na mwenye dhihaka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Fikira za mpumbavu ni dhambi, Na mwenye mzaha huwachukiza watu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mpango anaofikiria mpumbavu ni dhambi; mwenye dharau huchukiwa na kila mtu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mipango ya mpumbavu ni dhambi, watu humchukia mwenye dhihaka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mipango ya upumbavu ni dhambi, watu huchukizwa na mwenye dhihaka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Fikira za mpumbavu ni dhambi, Na mwenye mzaha huwachukiza watu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mpango anaofikiria mpumbavu ni dhambi; mwenye dharau huchukiwa na kila mtu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mawazo ya mjinga ni ya ukosaji, naye mfyozaji huwatapisha watu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Fikira za mpumbavu ni dhambi, Na mwenye mzaha huwachukiza watu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mupango mupambafu anaofikiri ni zambi; mwenye kuzarau anachukiwa na kila mutu.