Proverbs 25:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Neno lisemwalo wakati unaofaa, ni kama nakshi za dhahabu juu ya madini ya fedha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Neno lisemwalo kwa wakati ufaao ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Neno linenwalo wakati wa kufaa, Ni kama machungwa katika vyano vya fedha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Neno lisemwalo wakati unaofaa, ni kama nakshi za dhahabu juu ya madini ya fedha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Neno lisemwalo kwa wakati ufaao ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Neno lisemwalo kwa wakati ufaao ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Neno linenwalo wakati ufaao, Ni kama machungwa katika vyano vya fedha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Neno lisemwalo wakati unaofaa, ni kama nakshi za dhahabu juu ya madini ya fedha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama machunguwa yaliyomo katika vyano vya fedha yalivyo, ndivyo, lilivyo neno linalosemwa papasapo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Neno linenwalo wakati wa kufaa, Ni kama machungwa katika vyano vya fedha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Neno linalosemwa kwa wakati unaofaa, ni kama michoro ya zahabu juu ya feza.