Proverbs 25:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mjumbe mwaminifu humfurahisha yule aliyemtuma, kama maji baridi wakati wa joto la mavuno.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao, huburudisha roho za bwana zake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno; Ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwao wamtumao; Kwa maana huwaburudisha bwana zake nafsi zao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mjumbe mwaminifu humfurahisha yule aliyemtuma, kama maji baridi wakati wa joto la mavuno.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao, huburudisha roho za bwana zake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao, huburudisha roho za bwana zake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno; Ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwao wamtumao; Kwa maana huwaburudisha bwana zake nafsi zao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mjumbe mwaminifu humfurahisha yule aliyemtuma, kama maji baridi wakati wa joto la mavuno.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama baridi ya theluji inavyofurahisha siku ya mavuno, ndivyo, mjumbe mwelekevu anavyowafurahisha waliomtuma kwani huzituliza roho za mabwana zake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno; Ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwao wamtumao; Kwa maana huwaburudisha bwana zake nafsi zao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mujumbe mwaminifu anamufurahia yule aliyemutuma, kama maji ya baridi wakati wa joto la mavuno.