Proverbs 25:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama vile mawingu na upepo bila mvua, ndivyo alivyo mtu anayejigamba kutoa zawadi asiitoe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama mawingu na upepo pasipo mvua; Ndivyo alivyo yeye ajisifiaye karama kwa uongo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama vile mawingu na upepo bila mvua, ndivyo alivyo mtu anayejigamba kutoa zawadi asiitoe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama mawingu na upepo pasipo mvua; Ndivyo alivyo yeye ajisifiaye karama kwa uongo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama vile mawingu na upepo bila mvua, ndivyo alivyo mtu anayejigamba kutoa zawadi asiitoe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mawingu na upepo pasipo mvua ni mtu ajivuniaye vipaji vya uwongo, asivyovitoa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama mawingu na upepo pasipo mvua; Ndivyo alivyo yeye ajisifiaye karama kwa uongo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama vile mawingu na upepo bila mvua, ndivyo anavyokuwa mutu anayeahidi zawadi na haitoi.