Proverbs 26:1 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Heshima apewayo mpumbavu haimfai; ni kama theluji ya kiangazi, au mvua ya wakati wa mavuno.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama theluji wakati wa kiangazi au mvua wakati wa mavuno, ndivyo asivyostahili heshima mpumbavu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama theluji wakati wa joto, na mvua wakati wa mavuno; Kadhalika heshima haimpasi mpumbavu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Heshima apewayo mpumbavu haimfai; ni kama theluji ya kiangazi, au mvua ya wakati wa mavuno.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama theluji wakati wa kiangazi au mvua wakati wa mavuno, ndivyo asivyostahili heshima mpumbavu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama theluji wakati wa kiangazi au mvua wakati wa mavuno, ndivyo asivyostahili heshima mpumbavu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama theluji wakati wa joto, na mvua wakati wa mavuno; Kadhalika heshima haimpasi mpumbavu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Heshima apewayo mpumbavu haimfai; ni kama theluji ya kiangazi, au mvua ya wakati wa mavuno.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama theluji isivyopatana na kiangazi, kama mvua isivyopatana na mavuno, ndivyo, macheo yasivyopatana na mpumbavu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama theluji wakati wa joto, na mvua wakati wa mavuno; Kadhalika heshima haimpasi mpumbavu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Heshima anayopewa mupumbafu haifai. Ni kama teluji ya wakati wa kipwa, au mvua ya wakati wa mavuno.