Proverbs 26:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama mwendawazimu achezeavyo mienge, au mishale ya kifo,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama mwendawazimu atupaye mishale ya moto ya kufisha,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama mtu mwenye wazimu atupaye mienge, Na mishale, na mauti;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama mwendawazimu achezeavyo mienge, au mishale ya kifo,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama mtu mwendawazimu atupaye vijinga vya moto au mishale ya kufisha,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama mtu mwendawazimu atupaye vijinga vya moto au mishale ya kufisha,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama mtu mwenye wazimu atupaye mienge, Na mishale, na mauti;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama mwendawazimu achezeavyo mienge, au mishale ya kifo,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama mwenye wazimu alivyo atupaye mishale yenye moto ya kuua watu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama mtu mwenye wazimu atupaye mienge, Na mishale, na mauti;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama vile mwenda-wazimu anavyotupa mienge ya moto, mishale, na kifo,