Proverbs 26:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ndivyo alivyo mtu ampotoshaye jirani, kisha aseme, “Nilikuwa natania tu!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ndivyo alivyo mtu amdanganyaye jirani yake na kusema, “Nilikuwa nikifanya mzaha tu!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndivyo alivyo amdanganyaye mwenzake, Na kusema, Je! Sikufanya mzaha tu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ndivyo alivyo mtu ampotoshaye jirani, kisha aseme, “Nilikuwa natania tu!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ndivyo alivyo mtu amdanganyaye jirani yake na kusema, “Nilikuwa nikifanya mzaha tu!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ndivyo alivyo mtu amdanganyaye jirani yake na kusema, “Nilikuwa nikifanya mzaha tu!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndivyo alivyo amdanganyaye mwenzake, Na kusema, Je! Sikufanya mzaha tu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ndivyo alivyo mtu ampotoshaye jirani, kisha aseme, “Nilikuwa natania tu!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ndivyo, alivyo mtu amdanganyaye mwenziwe, akasema: Je? Mimi sikumchekesha tu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndivyo alivyo amdanganyaye mwenzake, Na kusema, Je! Sikufanya mzaha tu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
ndivyo mutu ambaye anadanganya jirani, kisha anasema: “Nilikuwa ninafanya muzaha tu!”