Proverbs 26:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mpumbavu anayejaribu kutumia methali, ni kama mlevi anayejaribu kungoa mwiba mkononi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama mwiba kwenye mkono wa mlevi ndivyo ilivyo mithali kinywani mwa mpumbavu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama mwiba uingiao katika mkono wa mlevi; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mpumbavu anayejaribu kutumia methali, ni kama mlevi anayejaribu kung'oa mwiba mkononi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama mwiba kwenye mkono wa mlevi ndivyo ilivyo mithali kinywani mwa mpumbavu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama mwiba kwenye mkono wa mlevi ndivyo ilivyo mithali kinywani mwa mpumbavu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama mwiba uingiao katika mkono wa mlevi; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mpumbavu anayejaribu kutumia methali, ni kama mlevi anayejaribu kungoa mwiba mkononi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwiba uliochoma mkono wa mlevi ni fumbo lililomo vinywani mwa wapumbavu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama mwiba uingiao katika mkono wa mlevi; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mezali katika kinywa cha mupumbafu ni kama tawi lenye miiba katika mukono wa mulevi.