Proverbs 27:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenye busara huona hatari akajificha, lakini mjinga hujitokeza mbele akaumia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele, naye hupata madhara.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenye busara huona hatari akajificha, lakini mjinga hujitokeza mbele akaumia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele nayo ikamtesa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele nayo ikamtesa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenye busara huona hatari akajificha, lakini mjinga hujitokeza mbele akaumia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwerevu wa kweli akiona mabaya kujificha, lakini wajinga hupita tu, wakapatwa nayo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye akili anaona hatari na kujificha, lakini wajinga wanajitokeza mbele na kuumia.