Proverbs 27:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu akiahidi mbele yako kumdhamini mgeni, chukua nguo yake; mfanye awajibike kwa kuwadhamini wageni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa ajili ya mgeni; lishikilie liwe dhamana kwa ajili ya mgeni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoza rehani aliye mdhamini wa malaya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu akiahidi mbele yako kumdhamini mgeni, chukua nguo yake; mfanye awajibike kwa kuwadhamini wageni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa ajili ya mgeni; lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo kwa ajili ya mwanamke mgeni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa ajili ya mgeni; lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo kwa ajili ya mwanamke mpotovu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoza rehani aliye mdhamini wa malaya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu akiahidi mbele yako kumdhamini mgeni, chukua nguo yake; mfanye awajibike kwa kuwadhamini wageni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Zichukue nguo zake yeye aliyejitoa kuwa dhamana ya mwingine, kwa ajili ya mwanamke mgeni mnyang'anye mali zake!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoza rehani aliye mdhamini wa malaya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu akiahidi mbele yako kubeba muzigo wa mutu mwingine, unyanganye nguo yake; utwae rehani kwake maana amebeba muzigo wa mutu mwingine.