Proverbs 27:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Chuma hunoa chuma, kadhalika mtu hufundishwa na wenzake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama vile chuma kinoavyo chuma, ndivyo mtu amnoavyo mwenzake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Chuma hunoa chuma; Ndivyo mtu aunoavyo uso wa rafiki yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Chuma hunoa chuma, kadhalika mtu hufundishwa na wenzake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama vile chuma kinoavyo chuma, ndivyo mtu amnoavyo mwenzake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama vile chuma kinoavyo chuma, ndivyo mtu amnoavyo mwenzake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Chuma hunoa chuma; Ndivyo mtu aunoavyo uso wa rafiki yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Chuma hunoa chuma, kadhalika mtu hufundishwa na wenzake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Chuma hunoa chuma; ndivyo, mtu na uso wa mwenziwe wanavyonoana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Chuma hunoa chuma; Ndivyo mtu aunoavyo uso wa rafiki yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Chuma kinanoa chuma, vilevile mutu anafundishwa na mwenzake.