Proverbs 27:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Acha watu wengine wakusifu, kuliko mdomo wako wewe mwenyewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwache mwingine akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mtu mwingine afanye hivyo na si midomo yako mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwingine na akusifu wala si kinywa chako mwenyewe; Mtu mgeni wala si midomo yako wewe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Acha watu wengine wakusifu, kuliko mdomo wako wewe mwenyewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwache mwingine akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mtu mwingine afanye hivyo na si midomo yako mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwache mwingine akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mtu mwingine afanye hivyo na si midomo yako mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwingine na akusifu wala si kinywa chako mwenyewe; Mtu mgeni wala si midomo yako wewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Acha watu wengine wakusifu, kuliko mdomo wako wewe mwenyewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwingine na akusifu, kisiwe kinywa chako! Mgeni akusifu, lakini isiwe midomo yako!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwingine na akusifu wala si kinywa chako mwenyewe; Mtu mgeni wala si midomo yako wewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Acha watu wengine wakusifu, kuliko kujisifu kwa mudomo wako wewe mwenyewe.