Proverbs 27:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu aliyepotea mbali na kwake, ni kama ndege aliyepotea mbali na kiota chake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake, ndivyo alivyo mtu atangatangaye mbali na nyumbani mwake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama ndege aendaye huko na huko mbali na kitundu chake; Ndivyo alivyo mtu aendaye huko na huko mbali na mahali pake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu aliyepotea mbali na kwake, ni kama ndege aliyepotea mbali na kiota chake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake, ndivyo alivyo mtu atangatangaye mbali na nyumbani mwake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake, ndivyo alivyo mtu atangatangaye mbali na nyumbani mwake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama ndege aendaye huku na huko mbali na kitundu chake; Ndivyo alivyo mtu aendaye huku na huko mbali na mahali pake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu aliyepotea mbali na kwake, ni kama ndege aliyepotea mbali na kiota chake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama ndege aliyekimbia tunduni mwake ndivyo, alivyo mtu aliyekimbia kwao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama ndege aendaye huko na huko mbali na kitundu chake; Ndivyo alivyo mtu aendaye huko na huko mbali na mahali pake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu aliyepotea mbali na kwake ni kama ndege aliyepotea mbali na chicha yake.