Proverbs 28:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tajiri hujiona mwenyewe kuwa mwenye hekima, lakini maskini mwenye busara atamfichua.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu tajiri anaweza kuwa na hekima machoni pake mwenyewe, bali mtu maskini mwenye busara humtambua alivyodanganyika.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu tajiri ana hekima machoni pake mwenyewe; Bali maskini mwenye ufahamu humchunguza sana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tajiri hujiona mwenyewe kuwa mwenye hekima, lakini maskini mwenye busara atamfichua.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu tajiri anaweza kuwa na hekima machoni pake mwenyewe, bali mtu maskini mwenye ufahamu atamfichua.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu tajiri anaweza kuwa na hekima machoni pake mwenyewe, bali mtu maskini mwenye ufahamu atamfichua.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu tajiri ana hekima machoni pake mwenyewe; Bali maskini mwenye ufahamu humchunguza sana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tajiri hujiona mwenyewe kuwa mwenye hekima, lakini maskini mwenye busara atamfichua.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu mkwasi ni mwerevu wa kweli machoni pake yeye, lakini mnyonge mwenye utambuzi humchunguza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu tajiri ana hekima machoni pake mwenyewe; Bali maskini mwenye ufahamu humchunguza sana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tajiri anajiona mwenyewe kuwa mwenye hekima, lakini masikini mwenye akili atamufichua.