Proverbs 28:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtawala asiye na akili ni mdhalimu mkatili; lakini achukiaye mali ya udanganyifu atatawala muda mrefu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtawala dhalimu hana akili, bali yeye achukiaye mapato ya udhalimu atafurahia maisha marefu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana; Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtawala asiye na akili ni mdhalimu mkatili; lakini achukiaye mali ya udanganyifu atatawala muda mrefu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtawala dhalimu hana akili, bali yeye achukiaye mapato ya udhalimu atafurahia maisha marefu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtawala dhalimu hana akili, bali yeye achukiaye mapato ya udhalimu atafurahia maisha marefu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana; Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtawala asiye na akili ni mdhalimu mkatili; lakini achukiaye mali ya udanganyifu atatawala muda mrefu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mkuu akosaye utambuzi huwakorofisha watu sana, lakini achukiaye mapato ya upotovu hukaa siku nyingi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana; Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutawala asiyekuwa na akili anawagandamiza sana watu, lakini anayechukia mali ya udanganyifu atatawala kwa muda murefu.