Proverbs 28:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu anayelemewa na hatia ya kuua mtu, atakuwa mkimbizi mpaka kaburini; mtu yeyote na asijaribu kumzuia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye kusumbuliwa na hatia ya kuua atakuwa mtoro hadi kufa; mtu yeyote asimsaidie.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Aliyelemewa na damu ya mtu Atalikimbilia shimo; wala mtu asimzuie.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu anayelemewa na hatia ya kuua mtu, atakuwa mkimbizi mpaka kaburini; mtu yeyote na asijaribu kumzuia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye kusumbuliwa na hatia ya kuua atakuwa mtoro mpaka kufa; mtu ye yote na asimsaidie.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye kusumbuliwa na hatia ya kuua atakuwa mtoro mpaka kufa; mtu yeyote na asimsaidie.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Aliyelemewa na damu ya mtu Atalikimbilia shimo; wala mtu asimzuie.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu anayelemewa na hatia ya kuua mtu, atakuwa mkimbizi mpaka kaburini; mtu yeyote na asijaribu kumzuia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu alemewaye moyoni na damu ya mtu, aliyemwua, hutangatanga hata kuingia shimoni, asione wamshikizao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Aliyelemewa na damu ya mtu Atalikimbilia shimo; wala mtu asimzuie.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu anayelemewa na kosa ya kuua mutu, atakuwa mukimbizi mpaka katika kaburi. Mutu yeyote asijaribu kumusaidia.