Proverbs 28:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aishiye kwa unyofu atasalimishwa, lakini mdanganyifu ataanguka kabisa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama hulindwa salama, bali yeye ambaye njia zake ni potovu ataanguka ghafula.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aishiye kwa unyofu atasalimishwa, lakini mdanganyifu ataanguka kabisa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama hulindwa salama, bali yeye ambaye njia zake ni potovu ataanguka ghafula.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama hulindwa salama, bali yeye ambaye njia zake ni potovu ataanguka ghafula.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aishiye kwa unyofu atasalimishwa, lakini mdanganyifu ataanguka kabisa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aendeleaye pasipo kukosa huokoka, lakini ajipotoaye kwa kushika njia mbili, mara huanguka katika moja.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye mwenendo mukamilifu ataponyeshwa, lakini munafiki wa njia mbili ataanguka mara moja.