Proverbs 28:22 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu bahili hukimbilia mali, wala hajui kwamba ufukara utamjia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mchoyo ana tamaa ya kupata utajiri, naye hana habari kuwa umaskini unamngojea.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye husuda afanya haraka kuwa tajiri; Wala haufikiri uhitaji utakaomjilia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu bahili hukimbilia mali, wala hajui kwamba ufukara utamjia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mchoyo ana tamaa ya kupata utajiri, naye hana habari kuwa umaskini unamngojea.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mchoyo ana tamaa ya kupata utajiri, naye hana habari kuwa umaskini unamngojea.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye husuda afanya haraka kuwa tajiri; Wala haufikiri uhitaji utakaomjia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu bahili hukimbilia mali, wala hajui kwamba ufukara utamjia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ajikazaye sana kupata mali nyingi huwa mwenye jicho baya, hajui, ya kuwa ukosefu utamjia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye husuda afanya haraka kuwa tajiri; Wala haufikiri uhitaji utakaomjilia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu muchoyo anakimbilia mali, wala hajui kwamba ukosefu utamufikia.