Proverbs 28:27 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliye mkarimu kwa maskini hatatindikiwa kitu, lakini anayekataa kuwaangalia atalaaniwa kwa wingi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye ampaye maskini hatapungukiwa na kitu chochote, bali yeye awafumbiaye maskini macho hupata laana nyingi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu; Bali afichaye macho yake atakuwa na laana nyingi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliye mkarimu kwa maskini hatatindikiwa kitu, lakini anayekataa kuwaangalia atalaaniwa kwa wingi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye ampaye maskini hatapungukiwa na kitu cho chote, bali yeye awafumbiaye maskini macho hupata laana nyingi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye ampaye maskini hatapungukiwa na kitu chochote, bali yeye awafumbiaye maskini macho hupata laana nyingi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu; Bali afichaye macho yake atakuwa na laana nyingi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliye mkarimu kwa maskini hatatindikiwa kitu, lakini anayekataa kuwaangalia atalaaniwa kwa wingi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Amgawiaye mkosefu hataona ukosefu, lakini ayafumbaye macho yake huapizwa kabisa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu; Bali afichaye macho yake atakuwa na laana nyingi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayesaidia wamasikini hatakosewa kitu, lakini anayekataa kuwaangalia atalaaniwa kwa wingi.