Proverbs 28:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Afadhali maskini aishiye kwa unyofu, kuliko tajiri aishiye kwa upotovu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama, kuliko tajiri ambaye njia zake ni potovu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Afadhali maskini aendaye katika unyofu wake, Kuliko mpotofu wa njia angawa ni tajiri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Afadhali maskini aishiye kwa unyofu, kuliko tajiri aishiye kwa upotovu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama kuliko tajiri ambaye njia zake ni potovu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama kuliko tajiri ambaye njia zake ni potovu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Afadhali maskini aendaye katika unyofu wake, Kuliko mpotovu wa njia ingawa ni tajiri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Afadhali maskini aishiye kwa unyofu, kuliko tajiri aishiye kwa upotovu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maskini ashikaye njia yake pasipo kukosa ni mwema kuliko apotoaye njia zake akipata mali nyingi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Afadhali maskini aendaye katika unyofu wake, Kuliko mpotofu wa njia angawa ni tajiri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Afazali masikini mwenye mwenendo mukamilifu, kuliko tajiri anayeishi kwa upotovu.