Proverbs 28:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtoto ashikaye sheria ni mwenye hekima, lakini rafiki wa walafi humwaibisha baba yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye anayetii sheria ni mwana mwenye ufahamu, bali rafiki wa walafi humwaibisha baba yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima; Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtoto ashikaye sheria ni mwenye hekima, lakini rafiki wa walafi humwaibisha baba yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye ashikaye sheria ni mwana mwenye hekima, bali rafiki wa walafi humwaibisha baba yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye ashikaye sheria ni mwana mwenye ufahamu, bali rafiki wa walafi humwaibisha baba yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima; Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtoto ashikaye sheria ni mwenye hekima, lakini rafiki wa walafi humwaibisha baba yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ayashikaye Maonyo ni mwana wa mtambuzi, lakini aliye mwenzao walafi humtia baba yake soni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima; Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutoto anayeshika sheria ni mwenye hekima, lakini rafiki wa walafi anafezehesha baba yake.