Proverbs 28:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anayekataa kuisikia sheria, huyo hata sala yake ni chukizo kwa Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu yeyote akikataa kusikia sheria, hata maombi yake ni chukizo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anayekataa kuisikia sheria, huyo hata sala yake ni chukizo kwa Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama mtu ye yote akikataa kusikia sheria, hata maombi yake ni chukizo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama mtu yeyote akikataa kusikia sheria, hata maombi yake ni chukizo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anayekataa kuisikia sheria, huyo hata sala yake ni chukizo kwa Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ayageuzaye masikio, yasisikie Maonyo, akimwomba Mungu hutapisha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayekataa kuisikia sheria, yule, hata maombi yake, ni chukizo kwa Mungu.