Proverbs 29:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wapendao kumwaga damu humchukia mtu asiye na hatia, lakini watu wema huyalinda maisha yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu wanaomwaga damu humchukia mtu mwadilifu, na hutafuta kumuua mtu mnyofu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wamwagao damu humchukia mtu mkamilifu; Bali wenye haki humtunza nafsi yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wapendao kumwaga damu humchukia mtu asiye na hatia, lakini watu wema huyalinda maisha yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu na hutafuta kumwua mtu mnyofu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu na hutafuta kumuua mtu mnyofu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wamwagao damu humchukia mtu mkamilifu; Bali wenye haki humtunza nafsi yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wapendao kumwaga damu humchukia mtu asiye na hatia, lakini watu wema huyalinda maisha yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wamwagao damu humchukia asiyekosa, lakini wanyokao hutafuta njia ya huiponya roho yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wamwagao damu humchukia mtu mkamilifu; Bali wenye haki humtunza nafsi yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanaopenda kumwanga damu wanachukia mutu mukamilifu, lakini watu wa usawa wanalinda maisha yake.