Proverbs 29:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mpumbavu huonesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima huizuia na kuituliza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mpumbavu huonesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mpumbavu huonesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima huizuia na kuituliza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mpumbavu huonyesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mpumbavu huonyesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mpumbavu huonesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima huizuia na kuituliza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mpumbavu hutoa ukali wote wa roho yake, lakini mwerevu wa kweli huuzuia, apate kuunyamazisha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mupumbafu anaonyesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima anaizuia na kuituliza.