Proverbs 29:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Adhabu na maonyo huleta hekima, lakini mtoto aliyeachwa afanye apendavyo humwaibisha mama yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto asiyeonywa humwaibisha mama yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Fimbo na maonyo hutia hekima; Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Adhabu na maonyo huleta hekima, lakini mtoto aliyeachwa afanye apendavyo humwaibisha mama yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Fimbo na maonyo hutia hekima; Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Adhabu na maonyo huleta hekima, lakini mtoto aliyeachwa afanye apendavyo humwaibisha mama yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Fimbo na mapigo humwerevusha mtu kweli, lakini mwana aliyeachiliwa tu humtia mama yake soni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Fimbo na maonyo hutia hekima; Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Azabu na maonyo vinaleta hekima, lakini mutoto aliyeachiliwa anapatisha mama yake haya.