Proverbs 29:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Pasipo maono ya kinabii watu hukosa nidhamu; heri mtu yule anayeshika sheria.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mahali pasipo na ufunuo, watu huacha kujizuia, bali ana heri mtu yule anayeitii sheria.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Pasipo maono ya kinabii watu hukosa nidhamu; heri mtu yule anayeshika sheria.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mahali pasipo na maono, watu huangamia, bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia, bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Pasipo maono ya kinabii watu hukosa nidhamu; heri mtu yule anayeshika sheria.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Pasipo kufumbuliwa mambo watu hawazuiliki, lakini ayaangaliaye Maonyo hufanikiwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Pasipo maono ya kinabii, watu wanashindwa kujizuiza. Heri mutu yule anayeshika sheria.