Proverbs 29:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtumwa haonyeki kwa maneno matupu, maana ingawa anayaelewa yeye hatayatii.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, hata akielewa, hataitikia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Haitoshi mtumwa kuonywa kwa maneno; Maana ajapoyafahamu hataitika.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtumwa haonyeki kwa maneno matupu, maana ingawa anayaelewa yeye hatayatii.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, ajapoelewa, hataitikia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, ajapoelewa, hataitikia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Haitoshi mtumwa kuonywa kwa maneno; Maana ajapoyafahamu hataitika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtumwa haonyeki kwa maneno matupu, maana ingawa anayaelewa yeye hatayatii.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa maneno tu mtumishi haonyeki, kwani huyatambua, lakini hayatii.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Haitoshi mtumwa kuonywa kwa maneno; Maana ajapoyafahamu hataitika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutumwa haonyeki kwa maneno matupu; maana ingawa anayaelewa, yeye hatayatii.