Proverbs 29:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waadilifu wakitawala watu hufurahi, lakini waovu wakitawala watu hulalamika.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi; waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waadilifu wakitawala watu hufurahi, lakini waovu wakitawala watu hulalamika.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi; waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi; waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waadilifu wakitawala watu hufurahi, lakini waovu wakitawala watu hulalamika.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Waongofu wakipata nguvu, watu hufurahi, lakini asiyemcha Mungu akitawala, watu hupiga kite.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wenye haki wakiongozeka, watu wanafurahi. Lakini waovu wakitawala, watu wanalalamika.