Proverbs 29:22 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenye ghadhabu huchochea ugomvi, mtu wa hasira husababisha makosa mengi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenye ghadhabu huchochea ugomvi, mtu wa hasira husababisha makosa mengi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenye ghadhabu huchochea ugomvi, mtu wa hasira husababisha makosa mengi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu mkali huzusha magomvi, naye akasirikaye upesi hufanya mapotovu mengi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye kasirani anachochea ugomvi, mutu wa hasira anasababisha makosa mengi.