Proverbs 29:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kiburi cha mtu humporomosha mwenyewe, lakini mnyenyekevu wa roho atapata heshima.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kiburi cha mtu humshusha, bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu hupata heshima.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kiburi cha mtu kitamshusha; Bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kiburi cha mtu humporomosha mwenyewe, lakini mnyenyekevu wa roho atapata heshima.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kiburi cha mtu humshusha, bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu hupata heshima.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kiburi cha mtu humshusha, bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu hupata heshima.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kiburi cha mtu kitamshusha; Bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kiburi cha mtu humporomosha mwenyewe, lakini mnyenyekevu wa roho atapata heshima.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Majivuno humnyenyekeza mtu, lakini anyenyekeaye rohoni hupata macheo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kiburi cha mtu kitamshusha; Bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kiburi cha mutu kinamuzaraulisha mwenyewe, lakini munyenyekevu wa roho atapata heshima.