Proverbs 29:27 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mdhalimu ni chukizo kwa mnyofu, naye mnyofu ni chukizo kwa mwovu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki; Na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mdhalimu ni chukizo kwa mnyofu, naye mnyofu ni chukizo kwa mwovu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki; Na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mdhalimu ni chukizo kwa mnyofu, naye mnyofu ni chukizo kwa mwovu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu mwovu hutapisha waongofu, naye ashikaye njia inyokayo humtapisha asiyemcha Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki; Na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwovu ni chukizo kwa mwenye haki, naye mwenye haki ni chukizo kwa mwovu.